Wednesday, December 19, 2012

ARE YOU SICK AND NEEDS GOD TOUCH TO YOUR HEALTH?

Praise the Lord!
Apostle and Prophet
Josephat E. Mwingira

May you live longer my dad!
May God strengthen you more for His work
May God increase His mantle on you for his work! Amen

I thank God the almighty for His enduring mercy which keeps us surviving and enjoying our daily life. His grace also makes us walk victorious in whatever situation we encounter in our lives. Thanks Jesus of your death. Amen

1 Corinthians 5:5
"To deliver such an one unto Satan for the destruction of the flesh, that the spirit may be saved in the day of the Lord Jesus"
There are so many people out there are in serious illness, sickness and experiencing tough suffering  and still they do not see the grace for healing. They have devoted all what they had to find the solution but things are becoming more worse. 
Your todays message is that, those suffering you are passing through, God had allowed it to happen for you to reach a point of giving your life to Jesus Christ. Once you accept Him as the Lord and Savior to your life  surely your spirit will be saved and consequently receive healing.
May God bless you.


Thursday, July 26, 2012

Files Hidden by Virus. How to Unhide Them?

The Solution

1. Insert the thumb drive to an empty USB slot. Take note the drive letter. For an example, F:.
2. Press Windows + R, and type “cmd“. Ok.

3. Enter this command,
            attrib -s -h -r f:/*.* /s /d
4. Press Enter and wait for the command to execute.
5. Open the thumb drive and you should see the files that were hidden by the virus.

Conclusion

Hopefully with this guide you can help your friends to solve the same problem. And yes, I also hope this guide will solve your files hidden by virus problem too. My friend believe me, university is the best place for virus to spread!
PS: All folders in your thumb drive become shorcut? I got the solution here:)
PPS: If your PC still having problem, you can either scan your PC with antivirus or repair it to speed up by using Registry Easy.

May God bless the author of this article (cypherhackz), he helped me when I was much stressed by viruses.

Monday, March 5, 2012

JE, WAJUA HAYA?

Luka 8:14-16
 Nazilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lo lote. na zile penye udongo mzuri, ndio wale ambao kwa unyofu wa wema wa mioyo yao hulisikia neno, na kulishika; kisha huzaa matunda kwa kuvumila.


Bwana Yesu asifiwe,

habari niliyokuandikia si mara ya kwanza kuisikia, umeisoma mara nyingi na kuisikia sana tu. Kuna mambo yaliyonitokea mimi nilipokuwa nikitafakari juu ya jamii ya wakristo na hii ndio habari yake:-

Siku moja nilikuwa nasikiliza kipindi cha dini katika redio moja hapa nchini, kilikuwa kinazungumzia habari za kwaresma. Mtumishi wa Mungu aliyekuwa akihutubu alihutubu kwa umahili wote, kisha nikasema utukufu kwa Bwana.

Baada ya hapo maswali kadhaa yakanijia, nami sikuwa na majibu nikamuuliza Roho mtakatifu naye akanipatia majibu.

Swali:
Mbona hawa watu wanafundisha neno kama tunalosoma sisi, mahubiri yaleyale, tatizo ni nini hata sisi tuitwe walokole wao wasiitwe hivyo bali wote ni wakristo?

Majibu kutoka kwa Roho Mtakatifu:
 Ni kweli, hao wanaitwa wakristo kwa sababu wanafuata mambo yanayofundishwa na kristo, lakini wao wapo katika mfumo wa dini. Akaniambia dini ni utaratibu alioweka mwanadamu wa kumtafuta Mungu ndio maana makanisani kwao wana liturjia na vitabu vingine vya miongozo ya Ibada; na wokovu ni mpango wa Mungu kutafuta wanadamu, hivyo, waliookoka wametafutwa na Mungu mwenyewe na sio wao waliomtafuta na ibada zao MIMI (Roho mtakatifu) ndiye ninayeziongoza. 
Pia, akniambia, wao ni kama mimea iliyopandwa chini ya kivuli cha miti mikubwa, ambayo kwa desturi huwa dhaifu na haiwezi kuzaa matunda. ndipo akanikumbusha kwamba mti wowote usio zaa matunda huukata na kuutupa motoni ukateketezwe.

Ndugu zangu Mungu yupo naye anatafuta watu kwa njinsi hii kwamba uisikie sauti yake ya wito wa wokovu kupitia watumishi wake naye akuweke katika orodha ya watoto wake.

Mungu wa Mbinguni akubariki

Thursday, January 26, 2012

MAMBO MATATU YA MSINGI ILI IMANI YAKO ITHIBITIKE



Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa neno la Kristo. Hivyo ili uitwe mtu mwenye imani ya Kristo lazima uwe msikilizaji wa habari za kristo, na zaidi uwe na utayari wa kuyatendea kazi yale uliyosikia ili imani yako iwe hai, kwa sababu imeandikwa Imani bila matendo imekufa. Pia biblia inasema Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyionekana. Hivyo ili uweze kupokea ahadi za Mungu ni lazima uwe mkamilifu katika imani. Ndio maana anasema mwenye haki wangu ataishi kwa imani, akiwa mwenye moyo wa kusitasita roho yangu haitamfurahia.
Mambo matatu ya msingi ili imani yako ithibitike
  1. Anza kuyawekea msingi yale mambo yote ambayo Mungu anataka uyafanye, yafanye kwa moyo wako wote. Iwe katika moyo mgumu, akili inakataa we fanya. Kufanya hivyo kunaonyesha utii kwa Mungu. Utii ni kufanya vile Mungu anataka na si kama vile wewe unavyotaka.
  2. Jifunze kukiri neno, hata kama mazingira yanakataa. Mfano: usianze kusema mimi siwezi kufanya biashara kwani kila nikianza nashindwa, bali sema utafanya kwani yupo afanyaye.
  • Jifunze kunena mema, na sio kutamka mabaya. Mfano: Ukoo wetu wala sio wa watu wenye akili. Wote tunaishia form 6 tu; au familia yetu sisi wote ni maskini hakuna hata mmoja mwenye baiskeli.
  • Uonyapo kuanzia neno kwanza hata la mwisho onyesha imani.
  • Jitahidi kuongea maneno yanayojenga, mtu wa imani haongei maneno negative.
  1. Jifunze kuwahi kwenye kusanyiko takatifu kila mara,
    usiahirishe kwenda kwenye kusanyiko na watakatifu wenzako kwa sababu zako. Mfano. Kama unafungu la kumi leo, usingoje kutoa kesho toa leo. Kufanya hivyo kunaharakisha mipango ya Mungu kutimia kwako haraka. Wepesi wa kufanya mambo ya Mungu kunafanya yeye Mungu afanye kwa wepesi aliyokuaahidia. Jifunze kubadilika kila inapoitwa leo i.e. jifunze kujikosoa, usingoje watu wakukosoe.
Kama ungependa kuokoka na uone utamu wa Imani hii yetu kwa Mungu katika Kristo Yesu sema sala hii
"Bwana Yesu, asante kwa kunifia msalabani ili kulipa deni za dhambi zangu. Naomba unisamehe makosa, uovu na dhambi zote nilizokutendea. Naomba Bwana unisafishe kwa damu yako takatifu ili niwe safi mbele zako nisiye na hatia. Naomba ufute na jina langu katika kile kitabu cha hukumu na uliandike katika kitabu cha uzima. Ee Bwana nipatie na Roho wako mtakatifu akaniongoze katika maisha yangu haya mapya ili nikuone ukitembea name. Amina"


Kuanzia sasa amini umekwisha okoka. Jambo la muhimu unalotakiwa kulifanya ni kutafuata kanisa linalo hubiri habari za wokovu na ujiunge nao ili upate kufundishwa taratibu za kuishi na Kristo.
Kama ungependa kujiunga nasi, basi tembelea tawi la huduma ya Efatha lililo karibu yako na utapata msaada wa kiroho ili kumjua Kristo. Wasiliana nasi kupitia +255 716 010 920 au email hpilula@yahoo.com

Thursday, January 19, 2012

JE, WAMJUA MPINGA KRISTO? HUYU NDIYE NA YUPO NASI

Ndugu zangu wapendwa katika Bwana

Bwana Yesu asifiwe! Yesu oyeeh eee!!

Champions Oyeee! Achievers juu!

Who am I?.................. I am the champion.

Sisi tu washindi zaidi ya washindi! Hallelluyaaaa!

Ni mara nyingine tena tumepata fursa ya kuhabarishana mambo machache juu ya ufalme wetu wa Mbinguni ambao mimi Happynus Pilula ni balozi wake mwaminifu hapa duniani kwa wito mkuu nilioitiwa na Bwana wetu Yesu Kristo kama mathayo 22:14 inavyosema "walioitwa ni wengi lakini wateule ni wachache.

Namshukuru Mungu kwa kuniweka katika kundi la wateule yaani wana wa Mungu waliopewa neema ya kufunuliwa mambo ya mbinguni na duniani. Pia wenye haki wake yaani warithi pamoja na mwanae mpendwa Yesu Kristu ambaye ndiye mzaliwa wa kwanza kwa kila kiumbe na aliyepewa kumiliki kila kitu kilichopo hapa duniani. Huo ndio utajiri wangu.

Basi tusome 1 Yohana 2:18-27 ndio kifungu kikuu kitakachotuongoza katika kumchambua mpinga kristo.

18 Watoto, ni wakati wa mwisho;na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwepo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu. 20 Nanyi mmepakwa mafuta na yeye aliye Mtakatifu nanyi mnajua nyote.21 Sikuwaandikia ninyi kwa sababu hamwijui iliyo kweli, bali kwa sababu mwaijua, tena kwamba hapana uongo wowote utokao katika hiyo kweli. 22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyu ndiye Mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.23 kila amkanaye Mwana hanaye Baba; amkiriye Mwana naye Baba pia. 24 Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikia tangu mwanzo lnakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya mwana na ndani ya Baba.

Mpinga Kristo ni nani?

Mpinga Kristo ni roho ya uasi ndani ya mtu. Uasi huu unakuwa juu ya jambo lolote lile la kiungu. Roho hii ya uasi kamwe haimkiri Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu

Unawezaje kumtambua mpinga Kristo

  • Anatabia za Kiburi
  • Anajifanya anajua kila kitu
  • Anajihesabia haki; yaani yeye Ni bora mbele za Mungu kuliko wengine, kama ni wokovu basi yeye ndiye aliyeokoka wengine wana mark time, hawajasimama katika wokovu.
  • Hapokei ushauri uwao wowote.

Nifanyaje ili kujiepusha naye?

Kabla ya kuepukana nae ni lazima utambue mazingira ya kukutana nae, vilevile utambua kwamba kazi ya huyu mpinga kristo ni kukujengea Imani mpya ndani yako juu ya kile ulichokuwa ukikiamini mwanzo. Imani hii inapatikana kwa kusikia. Kupitia maskio tunasikia, kisha tunatafakari na tunajenga imani ndani yetu. Kwa hiyo, mpinga Kristo anaweza kuwa Mtu yeyote aliye na hiyo roho ya uasi haijarishi ni mtumishi wa Mungu ( mchungaji, Mtume, Nabii, Mwalimu, Mwinjilisti, Askofu) au nani wote inaweza kuwavaa maadamu wametega maskio yao na kufungua mioyo yao na kuhifadhi habari hizo wanazosikia. Kwa hiyo unapowategea maskio yako na kusikiliza habari wanazokuambia juu ya ufalme wa mbinguni na watumishi wa Mungu ambazo kwa uhalisia si kweli, ni fitina tu za kutungwa, ujue tayari hao wametekwa na Ibilisi. Kimbia mara moja na kaa mbali nao kabisa. Hao ni njia ya kukupeleka kuzimu. Mungu mwenyewe amesema "usimguse masihi wangu" wewe ni nani unaye kashfu wenzako? Hiyo ni roho ya Uasi. Roho hii kwa asili innguvu kubwa sana ya kuambukiza kwa wengine. Hawezi kupotea mtu mmoja, lazima aondoke na kundi kubwa.

Pia tumesoma kwamba hawa watu wengine (wapinga Kristo) walikuwa kwetu, inamaana kwamba tulikuwa nao katika huduma zetu lakini wakatoka na kujitenga na kuanza kutunena vibaya pamoja na Kristo Bwana wetu. Ukiona hivyo kaa nao mbali sio wa kwetu hao. Si unajua ule usemi unaosema "kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo" ndivyo hata hao. Ndio maana Yohana anatuasa kwamba hawa walifunuliwa tu ili sisi tujue kwamba miongoni mwetu wamo wengi tu wasio wa kwetu yaani wana wa Mungu.

Nitajuaje kama nina elekea kutekwa na roho ya uasi?

Roho ya uasi inapokaribia kuteka nafsi ya mtu, kitu kikubwa inachofanya nikubatirisha ushuhuda wote alionao huyo mtu kuhusu Yesu, Mtumishi wa Mungu Fulani au Huduma fulani au kanisa fulani. Mfano; ulipookoka uliamini kabisa kwamba Yesu anaponya, na wewe ukapokea kabisa huo uponyaji kwa magonjwa sugu yaliyokuwa yanakusibu. Halafu leo unageuka na kusema kanisa Fulani nina mashaka nao, wanatumia nguvu za Nigeria, ni ma- Freemasons wale kuweni makini nao. Wee mwanadamu wee!!!

Angalizo, shika sana kilichokuvuta kwa Kristo yaani huo ushuhuda wako wa awali, huu ndio nguvu yako ya kuendelea kusonga mbele ukichuchumilia ile mede ya thamani. Hakuna jabali litakalo kuangausha ukisimama katika shuhuda za Yesu katika maisha yako.Mungu wa Mbinguni akupe neema ya kumshinda Ibilisi na kuipinga roho hii ya uasi.

Kama hujampa Bwana Yesu Maisha yako na unatamani umpatie leo fanya jambo hili. sema sala

"Bwana Yesu, asante kwa kunifia msalabani ili kulipa deni za dhambi zangu. Naomba unisamehe makosa, uovu na dhambi zote nilizokutendea. Naomba Bwana unisafishe kwa damu yako takatifu ili niwe safi mbele zako nisiye na hatia. Naomba ufute na jina langu katika kile kitabu cha hukumu na uliandike katika kitabu cha uzima. Ee Bwana nipatie na Roho wako mtakatifu akaniongoze katika maisha yangu haya mapya ili nikuone ukitembea name. Amina"

Kuanzia sasa amini umekwisha okoka. Jambo la muhimu unalotakiwa kulifanya ni kutafuata kanisa linalo hubiri habari za wokovu na ujiunge nao ili upate kufundishwa taratibu za kuishi na Kristo.

Kama ungependa kujiunga nasi, basi tembelea tawi la huduma ya Efatha lililo karibu yako na utapata msaada wa kiroho ili kumjua Kristo. Wasiliana nasi kupitia +255 716 010 920 au email hpilula@yahoo.com

Thursday, January 5, 2012

HOW TO WORK WITH A BAD BOSS


At some point in our careers, we all face having to work for a bad boss. Unfortunately, just because we think they are bad does not mean everyone else does. No matter how much they frustrate us, bad bosses do not always get called out and replacing them can be difficult. That means it is important to learn how to work for them.Most of them shares some behaviors.

Their behavior is arrogant, quick-tempered and controlling. Their motives are typically selfish and manipulative. They show little concern for others and few signs of understanding why others do not trust them. Most of all, they are quite unaware of their failings and the impact they have on their subordinates. No only do they see no need to change, they often make their high-handed behavior a source of pride 


Here are six types of bad bosses and tips for working with them:

The Unorganized Boss: This boss ca not keep data and information flow straight, much less organize the people who come up with that data. This means you will have to manage the flow—or at least the part of the flow that applies to you. Consider keeping e-mail strings, documenting notes from meetings, and being ready to take on extra administration responsibilities to help things move smoothly.

The Lying Boss: We assume leaders are honest by virtue of their role, but this is not always true. A lying boss is frustrating and may put you in an awkward position. Always take the high road, reminding him what he said in previous conversations. For difficult situations, bring a colleague to the meeting so you are not the only one hearing and substantiating what is said.

The Career-Ambitious Boss: Ambition is not usually a negative, but it can go sour if your boss ends up taking all the credit when things are go well and pointing fingers when they do not. The best news if you work for this type of person is they will not be around long. If they are successful, they will quickly move up and on. If they are not, they will go someplace else. In the meantime, the better you can make this boss look, the happier she will be. And who knows, you might be a beneficiary of her promotion.

The Always-Late Boss: This boss is never on time for meetings, which wastes your time and can even make you look bad. This is not likely to change, so learn to cope by setting work aside or bringing it with you so you will always have something productive to do while you are waiting. If your boss is late for meetings with others, go ahead and have a mini-meeting before your boss arrives and try to cover the agenda items your boss does not need to be there for anyway.

The Last-Minute Boss: This boss just can not get around to assigning work until the last minute, usually the night before the project is due or on Friday afternoons before long weekends. Take control of this situation by constantly asking what is coming up and showing the initiative that demonstrates you want to get ahead. You might also want to be flexible during the times when you think a project might come your way.

The No-Bad-News Boss: On the surface, having a boss who is always positive looks like a good thing, but you need the bad news with the good if you want to improve. Plus, if you do not get any of the bad news, you can not put in context what is good. With this boss, it is important to ask them to share both good and bad news, and make those situations comfortable for them. Be sure to ask how you can improve and better support the business.
Unfortunately, this is not an exhaustive list of bad boss behaviors; a boss can be difficult to work with beyond what we have described. But unless you are this boss’s only direct report, know you are not alone. Look to other colleagues who report to this boss for emotional and career support. And who knows, with a little group support and intervention, the bad boss might become a good one.

Remember; those tips are not easy to follow you need a higher spirit from God to live them, because in the frustrating environments each and everything you see is annoying. This is spirit is called the Holy Spirit and you can get Him just after having received Jesus Christ as your personal Savior.

If you want to get Him today say the following prayer:

"Lord Jesus Christ, thanks for your death on the cross, which gave me the key to my salvation. i know I am a sinner, forgive me from all my faults and wash me with your precious blood. Delete my name from the book of death and write it to the book of life. Give me your Holy Spirit to take control of my life from today. Let it be known from today that it is not me who live but YOU in me. In Jesus name, Amen."

After having said the above prayer faithfully, do the wise decision of looking a Pentecost Church near you, or Efatha Ministry near you, join them and get assistance for your spiritual growth to enjoy the goodness of Jesus Christ. Or if you wish to contact us, do not hesitate call +255 716 010 920, email hpilula@yahoo.com, and we will assist you in reaching your destiny in Christ.


 May God Bless You. Amen